
TUNAELIMISHA KUTOKA MBEYA
“…Tuepuke Rushwa, tujenge uchumi imara kwa maendeleo yetu binafsi na Taifa kwa ujumla…” Mektidis Haule, Afisa wa TAKUKURU Mbeya (wa nne kutoka kushoto mstari wa mbele), mara baada ya kuelimisha Watumishi wa Mamlaka ya Kiwanja cha Ndege Songwe, Septemba 22, 2022