RAIA MWEMA 30.07.2022

RAIA MWEMA 30.07.2022

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Sahil Geraruma ametilia shaka mradi wa kwanza wa madarasa ya Mwakata uliojengwa kwa nguvu za wananchi baada ya kubaini baadhi ya madarasa hayo yana nyufa. “Mimi nawaagiza kutokana na hayo niliyoyaona, njooni kwa muda wenu mrekebishe upungufu huo kwani wananchi wanapotoa nguvu zao katika ujenzi, lazima tuwape moyo ikiwa ni pamoja kujenga kitu chenye ubora” alisema Geraruma. Geraruma aliyasema hayo jana baada ya kuzindua vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari…

Read More Read More

Raia Mwema 07 Jun, 2022

Raia Mwema 07 Jun, 2022

Watuhumiwa kujidhamini mahakamani Gazeti la Raia Mwema Ukurasa wa 5 Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema Wizara yake itafumua mfumo wa jinai, ili kuangalia namna ya kupunguza msongamano wa mahabusu magerezani kwa kujidhamini. Dkt. Ndumbaro alitoa kauli hiyo jana bungeni jijini Dodoma, akijibu maswali ya wabunge Elibarik Kingu (Singida Magharibi) na Felist Njau (Mbunge Viti Maalumu), waliohoji mkakati wa Serikali kutatua changamoto ya mrundikano wa mahabusu magerezani. Waziri alisema marekebisho ya mfumo huo yatafanyika katika mwaka wa…

Read More Read More

Tanzania Daima 05 Jun, 2022

Tanzania Daima 05 Jun, 2022

Walimu vinara rushwa ya ngono Gazeti la Tanzania Daima UKURASA WA 2 Idara ya Elimu, mkoani Mbeya imetajwa kuwa kinara wa kujihusisha na vitendo vya rusha ya ngono, kwa madai kuwa baadhi ya walimu hutumia rushwa ya ngono kwa waajiri wao ili wasipangiwe kufundisha maeneo ya vijijini. Hayo yamesemwa na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Mbeya Maghela Ndimbo, wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu taarifa ya utekelezaji ya muda wa miezi mitatu wa taasisi hiyo.